Pinda kubariki Tamasha la Pasaka Dar

Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Taarifa kwa vyombo vya habari, iliyotolewa jana na mwenyekiti wa
kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, ilieleza kuwa tayari
Ofisi ya Waziri Mkuu imethibitisha kuhusiana na ujio wake kwenye tamasha
hilo.
“Tunafurahi kwamba katika tamasha letu mwaka huu jijini Dar es
Salaam, mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda... mwaka jana
alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Benard Membe,” ilisema sehemu ya taarifa
hiyo.
Waimbaji mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa
kutumbuiza katika tamasha hilo, ambapo wasanii wa nje ya nchi ni Ephraim
Sekeleti wa Zambia, Sipho Makhabane wa Afrika Kusini na Solomon Mukubwa
raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anayeishi Kenya, pamoja na
kwaya ya Ambassadors of Christ ya Kigali nchini Rwanda.
Waandaajia wamewataja wasanii wenyeji watakaotumbuiza wakati wote
wa tamasha hilo kuwa ni Upendo Kilahiro, Rose Muhando, Upendo Nkone na
John Lissu. Makundi ya kwaya ya Kinondoni Revival na Glorious
Celebration pia yatakuwapo.
Azam walk on tight rope as any slip up in their
remaining three matches could easily hand over the Mainland premiership
title to pacemakers Young Africans.
The team needs to perfect and win the rest of the fixtures while praying for Yanga to stagnate at the 56-point mark, Azam’s maximum ceiling.
The ice-cream makers are nine points adrift of champions to be Yanga and meet Coastal Union on April 26 at the Mkwakwani Stadium in Tanga.
The Dar side is the only team which has the probability of attaining the mark already touched by Yanga after Sunday’s 3-0 wig over relegation-haunted JKT Ruvu.
Any other result other than victory for the ice-cream makers would automatically shatter their title chasing dreams for the season they fought gallantly to lift it.
Azam were not in action over the weekend following their CAF Confederation Cup commitment as they faced visiting Moroccan side AS Far to salvage barren draw.
Yanga need to win or at least pull a draw in one of their two remaining fixtures one against Coastal Union and the other versus dethroned champions Simba on May 18.
Azam walk on tight rope

Azam FC squad
The team needs to perfect and win the rest of the fixtures while praying for Yanga to stagnate at the 56-point mark, Azam’s maximum ceiling.
The ice-cream makers are nine points adrift of champions to be Yanga and meet Coastal Union on April 26 at the Mkwakwani Stadium in Tanga.
The Dar side is the only team which has the probability of attaining the mark already touched by Yanga after Sunday’s 3-0 wig over relegation-haunted JKT Ruvu.
Any other result other than victory for the ice-cream makers would automatically shatter their title chasing dreams for the season they fought gallantly to lift it.
Azam were not in action over the weekend following their CAF Confederation Cup commitment as they faced visiting Moroccan side AS Far to salvage barren draw.
Yanga need to win or at least pull a draw in one of their two remaining fixtures one against Coastal Union and the other versus dethroned champions Simba on May 18.
Miss Tabata 2013 kupatikana Mei 31

Warembo wakiwa mazoezini.
Mratibu wa shindano hilo, Joseph Kapinga amesema kuwa shindano hilo litakuwa ni la aina yake kulinganisha na mashindano ya miaka ya nyuma kwani mwaka huu wamemejitokeza warembo wazuri zaidi.
“Warembo wazuri zaidi wamejitokeza mwaka huu kuliko mashindano tuliyowahi kuyafanya nyuma. Tutakuwa na burudani nyingi kutoka nje na ndani ya nchi,” alisema mratibu huyo wa Bob Entertainment na Keen Arts.
Warembo watakaoshiriki kwenye shindano wanaendelea na mazoezi kila siku katika ukumbi wa Da’ West Park.
Warembo hao ni Pendo Moshi (20), Madgalena Bhoke (21), Kabula Kibogoti (20), Queen Masha (19), Upendo Dickson (22), Martha Gewe (19), Zilpha Christopher (19), Hidaya David (22), Aneth Ndumbalo (19), Amina Ally (18), Dorice Mollel (22), Eunice Nkoha (19), Kazunde Kitereja (19), Angela Fradius (19), Domina Soka (21), Rehema Kihinja (20), Glory Jigge (18) na Sophia Claud (21).
No comments:
Post a Comment